.O.M.G MUNGU AWAREHEMU WOTE MLOPATA MISIBA
Nimepata habari isiyo na shaka kuwa gari aina ya coaster limeua watoto karibu wote waliokuwa wanaelekea mjini Karatu kwa ziara ya kimasomo including(joint examinations), taarifa zinasema wamebaki watoto(3) tu wengine wamefariki,
shule inaitwa Lucky Vincent Nursery & Primary School ipo Arusha ni medium school
UPDATE: Coaster inasadikiwa kuwa na zaidi ya abiria 30 na wote wanasadikiwa wamefariki,maiti zimepelekwa hospitalini na watu wameondoka eneo la tukio,mvua inanyesha
UPDATE: Picha zinakuja soon ripota yuko eneo la tukio
:Magari ya polisi yametanda kila kona na maiti zimebebwa na magari ya polisi
>UPDATES:Ni watoto watatu (3) wanasadikiwa wako hai ila wako mahututi kabisa na kuna wasiwasi vifo vikaongezeka
>UPDATES:Gari lilikuwa na zaidi ya abiria 30 wanafunzi 25,waalimu (4) wote wa kiume na dereva
>UPDATES:Kati ya majeruhi watoto watatu(3) wawili wako mahututi kabisa na mmoja amepasuka kichwa
>UPDATES:Maajabu ya ajali hakuna damu zozote zilizotapakaa licha ya watu wengi sana kufa!
>UPDATES:Majeruhi mmoja kati ya( 3) amefariki kabla ya kufikishwa hospitali,kwa hiyo taarifa zinasema wamebaki majeruhi wawili walioko ICU
>UPDATES:Kuna mkanganyiko mwingi kuhusu chanzo cha ajali ila nature ya eneo la ajali ni mteremko mkali na kuna daraja,ni eneo ambalo dereva anatakiwa kuwa makini kabisa,kwa dareva asiyemwangalifu inaweza tokea lolote,hebu angalia hapo gari lilipotumbukia na haikuwa ina over take ,u can diagnose the nature of an Mwonekano wa gari kwa mbele baada ya kupata ajali.
MORE UPDATES: UPDATES:
Maiti 32 zimepokelewa katika Hospital ya Lutheran Karatu, miongoni ni walimu 2, dereva 1 na wanafunzi 29, wavulana wakiwa 11 na wasichana 18 waliokuwa wanasoma Lucky Vincent Nursery and primary school.
-Mola awatie nguvu wazazi na wafiwa wote kwa ujumla.
Endelea kufuatilia=> http://bit.ly/2pfWLoJ
Source Jamiiforums

No comments:
Post a Comment